Blogroll

Alhamisi



 Chatu akiwa anatamba pembeni ya ukuta kuingia ndani ya nyumba
 
Chatu akiwa ndani ya eneo la hiyo nyumba
 
Hii imetokea Mkoani Arusha leo hii, Chatu mkubwa akiwa amefungwa kitambaa cheupe chenye maandishi ya kiarabu amekutwa kwenye nyumba ya mkazi mmoja wa Eneo la Sakina.
Majirani walipoanza kumvizia ili waweze kumuua walipata taarifa ya simu kutoka kwa Mwenye nyumba hiyo ambae ni tajiri mmoja wa huko Arusha akidai kuwa wasimuue huyo mtoto wake, lakini majirani hao hawakufata vile ambavyo huyo Mama alidai na hatimae walifanikiwa kumuua na kumkata kata vipande.
Baadhi ya watu wamehusisha kitendo hicho na imani ya kishirikina (Uchawi) hivyo kupelekea watu kuamini kuwa hata utajiri wake umetokana na mambo hayo.
 
 
  

Posted on 23:30 by Unknown

No comments



Hizi baadhi ya picha ambazo zimeenea kwenye mitandao ya jamii na zipo nyengine nyingi lakini kutokana na sababu za kimaadili si vema kuanika hapa maana ni aibu sana.
Lakini kwa mujibu wa Mh. John Komba amekanusha tukio hili na kusema kuwa Picha hizi ni za ku edit na kwamba si kweli kwamba yeye ni mchafu kiasi hicho.



Posted on 23:25 by Unknown

No comments

Jumatatu





Mgeni rasmi Mkurugenzi msaidizi Wizara ya Sayansi na Teknolojia idara ya sayansi na ubunifu Dr. Magreth Komba akizindua kijarida cha WITTED kuashiri uzinduzi wa  mpango wa kuhamasisha wanawake kusomea uhandisi sayanzi na teknolojia.





Mgeni rasmi Mkurugenzi msaidizi Wizara ya Sayansi na Teknolojia idara ya sayansi na ubunifu  
Dr. Magreth Komba
 
 
 
 
 
Picha ya pamoja

Posted on 04:21 by Unknown

No comments


Azam FC mshambuliaji John Bocco katika hatua dhidi ya beki wa jiji la Mbeya.

Posted on 04:10 by Unknown

No comments


Kinshasa

Ufumbuzi riwaya imekuwa kupatikana kwa matatizo, ambayo ni pamoja na polisi kupokea rushwa, makosa ya usalama barabarani na masaa katika foleni .

Robots ni kushikamana na kompyuta kuu , na wamejenga katika kamera , ambayo ripoti ya makosa ya usalama barabarani katika muda halisi. Hii hupunguza hatari ya shughuli yoyote ya kukwepa, kama vile rushwa. Ukosefu wa binadamu hufanya kutekeleza sheria rahisi.Wao ni umbo kama polisi trafiki binadamu, na taa za barabarani nyuma yao na kifua .
Haja ya robots haya uliojitokeza kwa sababu madereva na watembea kwa miguu sawa walilalamika kuhusu shughuli ya kukwepa, na uvivu wa maafisa wa usalama barabarani.

Posted on 03:21 by Unknown

No comments

Jumamosi


Dressed to impress: England players (from left to right) Andros Townsend, Adam Lallana, Jermain Defoe, Leighton Baines, Steven Gerrard, Ashley Cole, Frank Lampard, Chris Smalling, Michael Carrick, Gary Cahill, John Ruddy and Rickie Lambert show off the Three Lions' Marks and Spencer suits for this summer's World Cup

Posted on 00:39 by Unknown

No comments


10254026_701605643237230_8580053565843709984_n_a1d9b.jpg
e_ea375.jpg10314714_701605389903922_6275387952947322384_n_f2661.jpg1959405_701582933239501_207281538074768844_n_36b4b.jpg10330495_701594153238379_6010293286524896578_n_56e1e.png1491721_701582799906181_6031344742742479472_n_c4220.jpg10169171_701577873240007_943124478303523100_n_4a945.png

Posted on 00:25 by Unknown

No comments