Mambo yanaendelea kuiva taratibu tayari kuelekea Brazil from 12 June to 13 July 2014. Hiyo itakuwa mara ya pili kwa Brazil kuandaa Fainali za Kombe la Dunia. Jumla ya nchi 32 zitashiriki. Jumla ya mechi 64 zitachezwa katika majiji 12 ya Brazil. Pia itakuwa ni mara ya kwa "goal-line technology" kuanza kutumika kwenye Fainali za Kombe la Dunia. Spain watakuwa wanatetea kombe hilo baada ya kufunga Holland 1-0 katika Fainali zilizopita.